Thursday 2 January 2014

UNGEJUA MUMEO/MKEO/MPENZI WAKO ATAKUWA NA TABIA ALIZONAZO JE UNGEMKUBALI?


  1. Kama ungejua mumeo au mkeo atakuwa na tabia aliyonayo sasa ugekubali kuoana naye?
2. Je umeoa/kuolewa na mtu uliyemtaka; ni chaguo lako halisi?
3. Sababu gani zinakufanya uendelee kuishi na mkeo/mumeo hadi sasa Je (watoto, sababu ndoa ya kikristo haina talaka/wazazi watakulaani ukitengana nae/navumilia/bado nampenda/ tunaishi kwa mazoea?)
4. Sababu gani iliyokufanya uwe na uhusiano wa kingono nje ya ndoa?(kuchuja kwa mwenzako, tamaa ya mwili, marafiki wabaya, kasoro ya kimaumbile ya mwenzangu, tamaa ya mali/ kukosekana kwa maelewano ndani ya nyumba).


Majibu bila shaka unayo lakini tunaweza kukusaidia zaidi....

Teta nami
Brother Kalu
0655 440749
kalulunga2006@gmail.com 

No comments:

Post a Comment