Tuesday 29 April 2014

soda inayowezakumfanya mwanaume kuwa tasa

Kinywaji cha coca cola kimeendelea kuwa maarufu duniani lakini utafiti mpya umeonyesha kuwepo uhusiano wa kunywa sana kinywaji hicho na matatizo ya uzazi kwa wanaume.
 
Kwa mjimu wa utafiti huo uliochapichwa kwenye Jarida la Epidemiology la Marekani, wanaume wanaokunywa zaidi ya lita moja ya coca cola kwa siku wanakabiliwa na hatari ya kuwa tasa. Wanaume waliotumia kinywaji hicho walikuwa na upungufu wa aslimia 30 ya mbegu za uzazi zilizohesabiwa, ikilinganishwa na wale ambao hawakutumia. 
 
Wanaume hao walionekana kuwa na matatizo ya uzazi zaidi kuliko wasiokunywa coca cola.

SIRI YA TATOO KWA WANAWAKE....



                                     tattto mapajani na mgongonii
Tattoo ni michoro mbali mbali inayo chorwa kwenye mwili wa myamaa hasa mwanadamu,wengi ujiuliza kwa nini watu wana wake kwa waume huchora tatu ? Jibu kubwa kulingana na utafiti ni tattoo huwa moja ya
urembo kwenye miili yao.
Wanawake wao wameonekana kuchora tattoo hizo kwenye sehemu zaonza siri zaidi kuliko sehemu za kawaida za mwili wao na watu hujiuliza nini sababu kubwa?? JIbu ni urembo unaopendezesha na kuvutia zaidi wanaume{kimapenzi} pale endapo wakiona sehemu hizo za siri zikiwa zimepambwa na tattoo.

DENTI MWINGINE AACHIA PICHA ZAIDI YA 10 MTANDAONI HUYU NDIO KAFUNIKA WOTE HUWA WANATANIA TU ANGALIA HAPA LEO

 LIKE PAGE YETU KWANZA KISHA CLIK HAYO MANENO CHINI HAPO