Tuesday 29 April 2014

soda inayowezakumfanya mwanaume kuwa tasa

Kinywaji cha coca cola kimeendelea kuwa maarufu duniani lakini utafiti mpya umeonyesha kuwepo uhusiano wa kunywa sana kinywaji hicho na matatizo ya uzazi kwa wanaume.
 
Kwa mjimu wa utafiti huo uliochapichwa kwenye Jarida la Epidemiology la Marekani, wanaume wanaokunywa zaidi ya lita moja ya coca cola kwa siku wanakabiliwa na hatari ya kuwa tasa. Wanaume waliotumia kinywaji hicho walikuwa na upungufu wa aslimia 30 ya mbegu za uzazi zilizohesabiwa, ikilinganishwa na wale ambao hawakutumia. 
 
Wanaume hao walionekana kuwa na matatizo ya uzazi zaidi kuliko wasiokunywa coca cola.

SIRI YA TATOO KWA WANAWAKE....



                                     tattto mapajani na mgongonii
Tattoo ni michoro mbali mbali inayo chorwa kwenye mwili wa myamaa hasa mwanadamu,wengi ujiuliza kwa nini watu wana wake kwa waume huchora tatu ? Jibu kubwa kulingana na utafiti ni tattoo huwa moja ya
urembo kwenye miili yao.
Wanawake wao wameonekana kuchora tattoo hizo kwenye sehemu zaonza siri zaidi kuliko sehemu za kawaida za mwili wao na watu hujiuliza nini sababu kubwa?? JIbu ni urembo unaopendezesha na kuvutia zaidi wanaume{kimapenzi} pale endapo wakiona sehemu hizo za siri zikiwa zimepambwa na tattoo.

DENTI MWINGINE AACHIA PICHA ZAIDI YA 10 MTANDAONI HUYU NDIO KAFUNIKA WOTE HUWA WANATANIA TU ANGALIA HAPA LEO

 LIKE PAGE YETU KWANZA KISHA CLIK HAYO MANENO CHINI HAPO

Saturday 29 March 2014

SIKIO HALISI;

Mambo muhimu ambayo unatakiwa uyafanye kabla ya kuoa au kuolewa.
 

Pastor, Gordon Kalulunga.


MOJA ya mambo ambayo yanakosekana katika nyumba za ibada ni mafundisho ya mahusiano.

Watu wengi hawajui kuwa mtu aliyeolewa na hajaolewa au kuoa, ana haki ya kupata elimu ya ndoa.

Unaweza kujiuliza kuwa kwanini ndoa nyingi zina shida? Jawabu ni kwamba wengi wanajua ndoa baada ya kuingia kwenye ndoa, hawajawahi kupata elimu ya mahusiano.

Ni sawa na kumfundisha dereva kuendesha gari.

Wengi wamekosa elimu ya mahusiano au kuoa au kuolewa, vijana na mahusiano, bali wengi wana elimu za upako wa mafanikio na toa ndugu toa ndugu ndiyo masomo tuliyoyazoea.

Mfumo wa elimu tuliyonayo nao ni tatizo. Kwa mfano kwenye Biblia hakuna neno linalosema rafiki au mchumba.

Huwezi kukuta kitu kinachoitwa, urafiki, uchumba baadaye ndoa.

Ngoja nikuambie, Mathayo Mtakatifu sura ya 1;1-23. Mariamu alipoposwa….. haisemi alichumbiwa! Lakini katika utamaduni wa kimagharibi leo hii watu wanasema kuwa mchumba wa Yusufu.

Mchumba huwa anapimwa, ndiyo maana watu wanakuwa na wachumba wengi kweli na hatimaye uchumba unavunjika kwasababu hakuna mtu anayeenea kwenye utimilifu.

Kuna fix za kifikra ambazo zina ugonjwa wa kufisha, kesho unaweza kulia ukiendekeza kumtafuta mchumba badala ya kumtafuta mume au mke.

Akina dada wengi wanaomba na kusugua magoti wakiomba wapate wachumba.

Maandiko yanasema kuwa, ‘’Mjibu mpumbavu kutokana na upumbavu wake’’
Mtu ana wachumba kadhaa, kisha anaanza kumuomba Mungu ampe mume au mke huku akiwa na vinyago vyake. Majibu yatakuja kama anavyowaza. 

Yaani tayari wana fikra, vinyago na maamuzi yao kati ya wale wachumba waliopo moyoni na kichwani.

Mungu atamjibu mtu kutokana na elimu aliyonayo ya urafiki, uchumba kisha ndoa.

 Walio kwenye ndoa wengi wanajuta kwasababu wameoa au kuolewa na rafiki….

Ukikaa na mtu utasikia anakuambia, mtumishi nimeumia, tunakuabudu Bwana, utafikiri upako umetembea, kumbe watu wana kesi zao na nafsi zao zimepigwa.

Mimi kama mwalimu ambaye sawa na Daktari, nikianza kufuatilia ninajua.
Ukimuuliza vipi ina maana una chimichimi ya roho mtakatifu ndiyo maana kila tunapoanza kuabudu analia?

Ukidadisi mtu anakumbia kuwa, nilikuwa na mchumba akaniambia utanioa, akamwambia na rafiki yangu na mwingine…..

Nafsi za watu wa Mungu nyingi zimeumizwa na kuna kesi nyingi za kuachwa kuliko kesi za uhalifu mwingine.

Ukiomba mchumba, wanaweza kuja wengi kisha unapoanza kuburuzana nao unachoka kisha unatumbukia popote…..

Jambo hili la ndoa na uchumba ni gumu kwasababu vijana wengi ni wavivu kujifunza maandiko ya Mungu bali wanataka watafuniwe kila kitu na kulishwa.

Mungu ni roho, alimuumba mtu kwa mfano wake, akasema nendeni duniani mkazae na kuongezeka. Maandiko yanaposema Mtu, ina maanisha mfano wa roho.

Kwenye ulimwengu wa roho, Mungu aliumba mtu mke na mtu mume na ndiyo maana amekataza kuzini.

Maana yake ni kwamba kila mmoja ana mke wake na ana mume wake kwasababu kila mmoja aliumbwa na wake.

Ukiishika elimu hiyo, hautalia kwasababu eti hujapata mume au mke. Mbinguni kuna roho nyingi zinazataka kuja duniani, hivyo tuliopo tumepata neema ya kutangulia kuzaliwa.

Unapomuona mwanaume anapita, ujue kuwa huyo ni mume wa mtu na mwanake anayepita ni mke wa mtu.

Tatizo watu wanaomba kwa Mungu wapate mke au mume huku wakilia! Inashangaza mtu unaenda kudai deni lako huku akilia. Maana yake hajui haki yake, yaani imani zetu hazijawa sawa.

Kama ndani yako una usongo wa kuoa au kuolewa, fanya hivi. Kwa imani nenda kamnunulie na suti iweke ndani maana kwa imani yupo. Acha kushika yeyote mwisho utashika hata majoka.

Mungu hupendezwa na mtu mwenye imani na anamletea. Acha kulia.

Wanaume ngoja niwaambie. Mungu alipokuwa akiumba, alimtanguliza Brother men, kisha akamlaza usingizi na kuchomoa ubavu akamtengeneza mwanamke. Maana yake ni kwamba mwanamke wa kwako yupo, labda uwe towashi.

Wanawake hampaswi kufifia ngozi kwamba hamtaolewa, maana usigeweza kuumbwa bila wa kwako kuwepo na wala hajafa bali yupo, cha kufanya amini. Kanunue na suti kaweke ndani, anza kufanya maandalizi…

Kuweni na imani inayowekwa kwenye matendo, msiamni kuwa mtakosea.

Sehemu nyingine huwa nawafundisha kuwa, ukishatambua kuwa wa kwako yupo, tulia au subiri.

Kwa kuwa hatuamini kuwa wa kwako yupo, hatutulii, na kwa kuwa tunaanza kaba ya majira na wakati ndipo tunapoeekea kwenye kuumia na majuto ya uchumba na ndoa.

Wimbo uiobora 3;5 ….msiyachochee mapenzi wala kuyaamsha……Mungu anasema hayo kwasababu kabla ya Mungu kuyaamsha, wewe unawahi.

Mfano; Sekondari mtu hasa wanawake, anapokuwa kidato cha pili tu au kabla ya hapo, anaanza kuomba, Mungu nipe Mume….. hebu jiulize wewe ulianza lini kuzitikisa mbingu za mapenzi…… jibu unalo.

Wanyakyusa wanao usemi kwa mtu mzima anayefanya mambo ya hovyo, unasema…..amakambo, akwesile ndili… yaani mtu huyo anasumbuliwa na bangi….alivuta lini?

Hapa namaanisha kuwa unaweza kukimbilia na ukapata mume maana hakuna mtu anayekuwa anazijua tabia za wenzake, kisha utaanza kusema kuwa aaaaa…kumbe hakuwa mwenyewe..

Ibrahimu haraka zake zinasumbua kule Israel mpaka leo. 

Niwaambie ukweli kuwa haraka zina hasara zake sawa na utunzaji wa mtoto njiti ni kazi kubwa. Hivyo ukiharakisha unaweza kupata mume au mke njiti…

Sijui kama ninaeleweka katika somo hili. Haraka zinaendana na akina dada kuongea harakaharaka, wanaume wengi hawapendi mwanamke wa namna hiyo.

Yesu aliwahi kujaribiwa na kahaba, mafarisayo miili yao ikawa nyang’anyang’a huku yule kahaba akitoa machozi na kufuta miguu ya Yesu kwa nywele zake, hivi ungekuwa wewe Brother men ungefanyaje hapo?

Usiwe na haraka. Watoto wa kike ndo wana speed kuliko hata dunia inavyozunguka jua.

Hamnoni alimpenda Tamali mpaka akaumwa…. Lakini baada ya kulala naye akamchukia na kumwambia Tamali aondoke na akamchukia kwelikweli…..tafakari.

Hapa kinachotendeka katika ulimwengu wa roho ni kependa umbo lakini my akionja hakuti kile ambacho alikuwa anakifikiri.

Mfano mzuri ni kwamba wanaume na wanawake wengi ambao wamedumu katika mapenzi hawaoani.

Mwanaume akitembea na mwanamke na kutokukuta alichokitarajia, anasema hata kwa wenzake kuwa ‘’demu mwenyewe mshamba na hana lolote’’ yote hiyo ni kuyachochea mapema na kuvua. 

Nitajuaje kama ndiye?

Kimaandiko unapomuomba Mungu, utawekewa rohoni kitu kinachoitwa mwongozo.

Utaona unasukumwa na jambo la kuolewa kama kuku navyosumbuka kutafuta eneo la kutagia, sawa na mtumishi wa Mungu anapotaka kufanya jambo la kiroho.

Jifunze kumsikiliza Mungu, ondoa moyoni kufikiri kuwa huyo unayefikiri na kumweka moyoni kama ni mwenyewe, huyo siyo. Achana naye maana roho ya mauti ipo juu yako. Tubu.  

MSIKILIZE MUNGU ILI ASIKUJIBU SAWA SAWA NA VINYAGO ULIVYOWEKA MOYONI MWAKO NA KUJIINGIZA POPOTE. 

HEBU JIULIZE, MPAKA SASA UNA VINYAGO VINGAPI?
Hili ni somo la sikio halisi, siku nyingine nitatoa mifano yangu halisi…..
Mungu awabariki na awasamehe wote wenye toba.


Gordon Kalulunga
Information and Media Consultant
P.O. Box 705, Mbeya-Tanzania
Tel: 255 (0)754 440749
WEB; www.kalulunga.blogspot.com

Saturday 22 February 2014

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2013 HAYA HAPA

Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani  la Tanzania,  Dk. Charles Msonde, akitangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) na Maarifa (QT), Dar es Salaam leo. Kushoto ni Kaimu Naibu Katibu Mtendaji wa  baraza hilo, Edward Haule. (PICHA NA KHAMIS MUSSA)

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2013 KWA MKOA WA MBEYA BOFYA HAPA CHINI KUTAZAMA MATOKEO YA SHULE

ST. FRANCIS GIRLS SECONDARY SCHOOL

















































Kupata matokeo ingia kwenye tovuti ya NECTA ya: 

http://www.necta.go.tz/index.php 

Kisha bofya sehemu ilioandikwa MATOKEO YA CSEE 2013 & MATOKEO YA QT 2013 Upande wa juu  kulia pembeni mwa tovuti

Thursday 20 February 2014

WABUNGE WA KATIBA MPYA KUTAKA NYONGEZA ZA POSHO, SIRI NZITO YAFICHUKA


*Wabunge wa Jamhuri wadaiwa kuwa kichocheo
Kalulunga blog team, Dodoma.

SIKU moja baada ya wabunge maalum wa bunge la katiba kulalama na kutaka kuongezewa posho, uchunguzi umebaini kuwa shinikizo hilo linatokana na baadhi ya Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.



Baadhi ya Wabunge hao wa Jamhuri, wanadaiwa kusukuma jambo hilo kwa maslahi yao binafsi na kwa malengo yao ambayo tayari yamebainika.



Malengo yaliyotajwa na vyazo vyetu vya habari, vimesema kuwa wabunge hao wanashinikiza wabunge wa bunge maalum waongezewe posho kutoka kiwango cha sasa cha Tsh. 300,000 mpaka kufikia kiasi cha Tsh. 540,000 kwa siku.



Vyanzo hivyo vinahoji iweje wabunge hao walioomba kufanya kazi hiyo kwa maslahi ya taifa wadai kiasi hicho kikukwa cha fedha!



‘’Hawa wamekuja hapa kwa maslahi yao na hata katiba itakayopitishwa hapa itakuwa kwa maslahi yao na wala si wananchi’’ kilihoji moja ya chanzo chetu kutoka miongoni mwa walengwa wanaopinga ongezeko la posho hizo.



Aidha uchunguzi umebaini kuwa, nia kuu ya wabunge wa Jamhuri wanaoshinikiza ongezeko la posho hiyo, wanalenga kupata mkupuo wa fedha ambazo zitawawezesha kulipa ama kupunguza madeni ya magari yao ya kifahari waliyoyakopa.



Wakati hali hiyo ipo hivyo, taarifa kutoka serikalini, zimeeleza kuwa mpaka kufikia leo, Halmashauri kote nchini, bado hazijafikishiwa fedha za maendeleo ya wananchi.



''Wanatumia mwanya wa bunge la katiba kutaka nyongeza ya posho ili kulipa madeni ya magari yao''.

UFAHAMU;KONDOMU NA UKIMWI


 KONDOMU ni kifaa/ zana iliyotengenezwa mahususi kuvalisha uume au kuwekwa ukeni wakati wa kujamiiana.Nazo hubana kutokana na umbile la uume au uke.

Kondomu hizi zipo za aina tofauti kutokana na muda na vipindi zilipotengenezwa, nazo ni kama ifuatavyo:-
Awamu ya I – zilizotengenezwa kwa mimea.

Hizi zilitengenezwa mahususi kama kinga dhidi ya maambukizo ya vimelea vya ugonjwa wa kaswende [ugonjwa wa kifaransa]
Awamu ya II – kutokana na utumbo wa kondoo.

Dr. Condom alifahamika kama mgunduzi wa kondomu hizi, naye alikuwa ni dakatari wa Mfalme Charles II.

 Alimshauri Mfalme kutumia kama kinga kutokana na magonjwa ya zinaa kutokana na tabia yake ya kuwa na wanawake wengi nje ya ndoa yake.

Awamu ya III – kutokana na mpira

Hizi zilitengenezwa kwa urahisi na kwa wingi na zikawa ndizo pekee zenye uwezo wa kudhibiti mimba hadi miaka ya 1960 vilipogunduliwa na vidonge vya majira.

JE KONDOMU NI SALAMA?
Tunaelezwa kuwa kondomu hutengenezwa kwa ustadi mkubwa kiasi kwamba haziwezi kuruhusu kitu chochote kupita.

Lakini tafiti mbalimbali zilizofanyika zinaonyesha kuwa kondomu zaweza kuvuja kutokana na mazingira halisi ya utengenezaji wa latex.

Wengine wanadai kuwa ili kuzifanya imara, kondomu zimetengenezwa kwa kupishanisha pande mbili ili kuziba udhaifu wa kila upande.

Hata hivyo watengenezaji wanasahau kuwa mazingira ya matumizi ya kondomu katika ngono hayalingani na majaribio waliyofanya ya kujaza maji au hewa ili kupima kama maji na hewa vinapita.

Katika tendo la ngono ipo misuguano ya namna mbalimbali inayosababisha kubadilisha mazingira ya kondomu na kuidhoofisha.

Kutokana na tafiti hizo imefahamika kuwa kondomu hazina uwezo wa kuzuia mbegu za kiume kupenya wakati wote.

Upana wa kipenyo cha mbegu ni makroni 5 wakati upana wa kipenyo cha kirusi cha ukimwi ni makroni 0.1

Kwa maneno mengine mbegu ya kiume ni kubwa mara 50 ya kirusi cha ukimwi.

Vile vile tafiti zimeonyesha kuwa kondomu haina uwezo wa kuzuia maambukizo ya magonjwa ya zinaa vikiwemo virusi vya ukimwi kwa kiwango cha asilimia mia moja.

 Hivyo tunaweza kusema kuwa, kondomu si salama kwa asilimia mia moja.
Kondomu zina kiwango cha kushindwa cha kati ya asilimia 10 na 15 na wengine wanasema hata asilimia 20.

Wasambazaji na wahamasishaji wa matumizi ya kondomu hawapendi kusikia ukweli huo na wanafanya jitihada kubwa ya kuficha ukweli huo.

Matangazo yatolewayo kupitia mabango ya barabarani, katika televisheni, radio na hata magazeti yanawarubuni watu yakiwaaminisha kuwa kondomu humkinga mtumiaji kwa kiwango cha asilimia 100%

Huko ni kukengeusha ukweli na kukiuka maadili ya kitaaluma.
Wengi kama sio wote wateteao matumizi ya kondomu hufanya hivyo kwa sababu ya maslahi ya kifedha na kibiashara.

Tukiongozwa na dhamiri safi, lazima tukiri ukweli uliopo na tuwaeleze watumiaji, ili tusijekuwa sababu ya kifo chao.

Kila kondomu inaposhindwa [itumikapo] kama kinga dhidi ya maambukizo ya virusi vya ukimwi ] humaanisha kifo.
    


Udhaifu wa kondomu Kiufundi,Matumizi, Kimazingira
    Udhaifu wa kiufundi
Wasambazaji wanatueleza kuwa kondomu zilizotoka kiwandani zikiwa na ubora unaotakiwa zikitumika wakati wote na kwa usahihi zina uwezo wa kukinga kwa kiwango hadi cha asilimia 97.

Zisipotumika vizuri zina kiwango cha kushindwa cha asilimia 14.

Kiwango cha kushindwa kwa kondomu kuzuia maambukizo ya magonjwa ya zinaa hutofautiana kutokana na aina ya magonjwa ya zinaa.

Kondomu zaweza kuzuia kwa kiwango fulani maambukizo ya magonjwa ya zinaa yanayosafiri kwa njia ya ute, lakini haziwezi kuzuia magonjwa ya zinaa yanayoambukizwa kwa mgusano wa mwili kama vile "herpes" na "human papillomavirus"; au magonjwa yanayoambukizwa kutokana na vidonda au malengelenge yaliyoko kwenye via vya uzazi kama vile kaswende.
Hali hiyo inatokana na:

Watengenezaji wameruhusu udhaifu wa kiufundi kama zao la kiwandani lililotengenezwa na kazi ya mikono ya binadamu [acceptable quality limit] kwa kiwango Fulani kwa nchi mbalimbali. 

Mfano, Marekani kiwango kilichokubaliwa ni asilimia 99.6 kwa kutoruhusu kondomu kuvuja. 


Uingereza asilimia 97, Uholanzi asilimia 96. 5. Hivyo katika kila idadi ya kondomu itumikayo kwa wakati mmoja kuna kiwango cha kuvuja kati ya asilimia 0.4 (USA); 3% (Britania); 3.5% (Holland).

    Kondomu huzeeka
Kwa kadiri zisivyotumika kwa muda mrefu ndivyo hivyo zinaaendelea kuzeeka. 

Kwa hiyo mtumiaji kondomu wa miaka 3 au 4 baada ya kondomu hiyo kutengenezwa yumo katika hatari zaidi kuliko anayetumia kondomu mara tu baada ya kutoka kiwandani.

Utafiti mmoja umeonyesha kuwa kiwango cha kupasuka kwa kondomu kiliongezeka kutoka 3.6% kwa kondomu mpya hadi 18.6% kwa kondomu zilizotumika miaka kadhaa baadaye.

    Kondomu hupasuka.
Kiwango cha kupasuka hutegemea aina ya kilainisho kilichotumika na aina ya kondomu. Kwa mujibu wa tafiti 15 zilizofanywa na "Contraceptive Technology" yalionyesha kuwa katika kondomu 25,184 zilizotumika 4.64% zilipasuka.

Ingawaje kondomu za latex zinaonekana kuwa na kiwango kidogo sana cha kupitisha virusi vya ukimwi, hatari kubwa ya matumizi yake imo katika uwezekano wa kondomu kupasuka, kuteleza na kuteleza.

Kwa hiyo hata kama ni virusi vichache tu vinaweza kupenya, kiwango cha maambukizo kitakuwa kikubwa kadiri kondomu zinavyosambazwa kwa wingi na kadiri watu wanavyojihusisha na vitendo vya ngono wakiamini katika matumizi ya kondomu.

Udhaifu katika matumizi

    Matumizi mabaya: yaani kutovaa vizuri, kuvaa nje ndani, aina ya ngono, urefu wa muda wa ngono, pia kutokana na uelewa mdogo hasa kwa wasojua kusoma na kuandika na wale wakaao mbali na mijini.

    Kuteleza na kuvulika kutokana na hali ya uume kuwa mdindifu au la; upana au wembamba; mrefu au mfupi. 

Pia kutokana na tendo la ngono na hali ya mtumiaji na mazingira ya matumizi. 


Kutokana na umri wa mtumiaji, kama ni mtoto, kijana, mtu mzima au mzee.
Kutumia kondomu ambazo muda wake umepita. Mfano wanaotumia gizani , katika hali ya ulevi, kutokujua kusoma, kuchunguza na kugundua kama muda wake umepita.
     
Mazingira ya kingono yakishawekwa, watu wanatawaliwa na mihemuko ya juu ya ngono kiasi kwamba hawawezi kuchunguza tarehe ya ukomo wa matumizi ya kondomu.

Ingawa watengenezaji wanashauri kutotumia kondomu iliyobadilika rangi au iliyokauka, tabia za watumiaji hazina nafasi ya kuzingatia ushauri huo.
    
Lengo la mtumiaji laweza kusababisha matumizi kuwa mabaya. Mtu mwenye virusi vya ukimwi, anajiwekea lengo kwamba hataki kufa peke yake, atafanya jitihada za kutokutumia vizuri ili mwenzake [ambaye anaamini hajaambukizwa] aweze kuambukizwa ili, "nisife peke yangu".

Vilevile katika siku hizi za dawa za kupunguza makali ya kuzaliana virusi vya ukimwi, mtu anaweza kuonekana mwenye afya nzuri kabisa, na anaweza kumshawishi mwenzake kuachana na kondomu kwa vile "wanaaminiana".

Kwa hiyo mambukizi yanaweza kuwa makubwa kutokana na kutowadhibiti wale waliokwisha ambukizwa.

  udhaifu wa kimazingira
Huu unatokana na hali zifuatazo:-  kibinadamu, kimaumbile na Kibinadamu.

Udhaifu wa kondomu waweza kusababishwa na usafirishwaji, yaani muda unaotumika kusafiri kutoka sehemu zinapotengenezwa hadi mahali zinapotumika;

ii. Kimaumbile
Vyombo vya usafirishaji  na usalama wa vyombo hivyo;

Kondomu zinazosafirishwa katika meli, zikiwa baharini kwa miezi kadhaa kabla hazijafika katika nchi lengwa na katika hali ya joto ndani ya makontena zinakuwa na kiwango hafifu katika ubora wake.

Udhaifu wa sehemu ya kuhifadhi kondomu pamoja na vyombo vya kuhifadhia.
source. Human Life International.

Gordon Kalulunga

Information and Media Consultant

P.O. Box 705, Mbeya-Tanzania

Tel: 255 (0)754 440749
e-mail: kalulunga2006@gmail.com
www.kalulunga.blogspot.com

Friday 24 January 2014

STAILI ZA KUTOMBANA...ONA HAPA CHACHE. WADAU WAMEOMBA IWEKWE FRONT PAGE LEO

THIS IS IT WHAT CAN YOU CALL IT



kumridhisha mpenzi sio kazi ni ujuzi wako tu uliotulia mweke juu mwache atumie vizuri mda kwa kucheza na mboo

AKINADADA KISIMI KINASIRI KUBWA MPE BWANA NAFASI AKINYONYE MARA KWA MARA

KILA STYLE INA UJUZI WAKE BWANA KUMA MNATO AKINADADA JUENI KUTUMIA STYLE KUMDATISHA MZEE NYUMBANI

KUNA STYLE MBALI MBALI ZA KUTOMBANA AMBAZO ZITAMFANYA DEMU WAKO ADATE NAYE MWANAMKE ASIKIE RAHA

SIKIO HALISI; JE UNATAKA KUBADILIKA KIFIKRA? UNGANA NAMI KATIKA

SIKIO HALISI Na, Gordon Kalulunga.
1.
JE UMEUMIZWA KIFIKRA NA MAISHA AU MWENZA WAKO NA UNATAKA KUBADILIKA NA UWE MTU MWENYE MAFANIKIO? UNGANA NAMI.
 
 
KAMA hatubadiliki, hatukui na kama hatukui basi tumekufa. 



Huo ndiyo ukweli katika maisha. Haya ni mafundisho ambayo yatakutoa hapo ulipo na kwenda sehemu tofauti na wengine.

Kama unataka kuendelea kuwa yule yule anayekosea, asiyejua kuomba radhi, asiyeweza kujiuliza maswali kuwa nini anatakiwa kufanya, hawezi kubadilika.

Tulio wengi hatutaki kukabiliana na mabadiliko, lakini kila siku tunafanya juhudi za kutaka kuwabadili wengine, wakati tunaendelea kufanya mambo yale yale.

Kuna kitabu niliwahi kukiona kimeandikwa hivi ‘’ kwanini mimi niwe wa kwanza kubadilika?’’ swali hili wengi wetu tunajiuliza bila kupata majibu.

Lakini nikuambie kuwa, ukiwa wa kwanza wewe kubadilika, utakuwa na furaha zaidi kama utaendelea kukua na kujifunza zaidi. 

Ukibadilika utaanza kuwajibika kwako wewe mwenyewe, yaani utawajibika kwa maisha yako kiutashi na nidhamu. 



Hivyo ukibadilika, watu wengine watabadilika na kukufuata, hii ni siri ninayokupa.

Lakini ni vema ukafahamu kuwa mabadiliko ni kitu kigumu sana ukizingatia ukweli kwamba, sisi binadamu ni viumbe wa tabia.

Na sehemu kubwa ya tabia zetu, tumefundishwa tangu utotoni, pamoja na tabia hizi, tunapaswa kubadilika ili kujua hasa maana ya maisha yetu.

Mabadiliko ni magumu kwasababu ya mazoea, hivyo njia moja kuu ya mabadiliko ni kutenda. Soma vitu ambavyo vinakubadilisha nk.

Kama huwezi kutenda hautaweza kuwa na mabadiliko, maana kutenda ndiko kunaleta mabadiliko wala si kukariri mambo.

Ni vizuri kujua mambo, kuwa na maarifa lakini ni hekima kuyatumia maarifa hayo.

Kumbuka kuwa huwezi kubadilika kwenye maeneo yote kwa wakati mmoja, mfano ulevi, uzinzi, dharau nk. Anza na jambo moja.

Kikubwa ndugu yangu nikuambie kuwa, bila nidhamu na utashi ni vigumu sana kubadilika, maana mabadiliko ya aina yeyote, yanataka nidhamu ya hali ya juu sana.

Mabadiliko maana yake ni kutoka kwenye mazoea lakini bahati mbaya tulio wengi hatutaki kutoka kenye mazoea na kuthubutu.

Lakini mimi nakuambia kuwa inawezekana, Nchi kama china na nyinginezo, jamii zao ziliumia mfumo ulipobadilika, sasa jiulize kuwa je kama jamii inaweza kuumia wakati wa mabadiliko sembuse wewe mmoja katika mabadiliko ya maisha yako? Anza sasa. 

Je unataka kuanza kubadilika kwenye hasira, fitina au ipi? Kusikia ni chanzo cha maarifa, bila shaka umenisikia kupitia sikio hili halisi.

Tunakuwa na masomo haya ya sikio halisi kwa wale wanaohitaji kwenye kumbi mbalimbali nchini, kwa sasa tupo mkoani Mbeya.

Wiki hii tutakuwa ukumbi wa Tughimbe Hotel Mbalizi Mbeya, kwa kiingilio cha Shilingi 5,000/=

Ni kuanzia saa Nane kamili mchana mpaka saa kumi jioni, nyote mnakaribishwa.



Tukutane wakati mwingine katika mafundisho haya.

Teta nami kwa SIMU; 0754 440749/0787552955

Email; kalulunga2006@gmail.com
WEB; www.kalulunga.com
Wenu katika sikio halisi

Gordon Kalulunga.
 
 

LEO TENA KATIKA MFULULIZO WA.....

SIKIO HALISI

2.
KUNA hadithi niliyowahi kusimuliwa, ambayo wakati ule sikuielewa maana yake kutokana na umri wangu wa wakati huo.
Lakini leo hii ninao uwezo wa kuieleza na kuitumia katika sikio lako halisi ambalo linaweza kukupelekea mabadiliko, je unataka kuisikiliza na upo tayari kubadilika? basi ungana nami tena leo.

Hapo zamani kulikuwa na mfalme mwenye akili sana ambaye siku moja aliamua kupima ufahamu wa watu wake kuhusiana na maisha.

Aliwatuma wasaidizi wake kwenda kuweka jiwe kubwa katikati ya barabara, wasaidizi wake walifanya hivyo huku yeye akijificha kwenye kichaka ambacho kilikuwa karibu na barabara hiyo.

Alifanya vile ili aweze kuona ni nani ambaye angeweza kuliondoa jiwe lile.

Watu mbalimbali walipita mahala pale na kulikwepa jiwe na kupita pembeni ya barabara. 

Wengine walipofika pale walilaumu sana na kusema huyu mfalme pamoja na utawala wake ameshindwa kuondoa jiwe lile katikati ya barabara, na kusema kuwa, kuna wafalme wengine hawafai, maana wapo kwenye madaraka lakini hawawezi kuwasaidia.

Ni kama maumbile kwa watu kulaumu mamlaka endapo jambo halijafanyika bila kujali mazingira. 

Walipita wasomi, matajiri na wananchi wa kila namna huku wakikwepa lile jiwe.

Hatimaye kuna mkulima mmoja, mahali pale akiwa na mzigo wa mboga kichwani na kuanza kulitizama lile jiwe kwa muda.

Kisha alitua mzigo wake na kuliendela na kuanza juhudi za kulisukuma kulitoa mahala pale, alijitahidi sana kwasababu jiwe lilikuwa kubwa na yeye alikuwa peke yake.

Alitumia muda mrefu sana kulisukuma lile jiwe, na hatimaye lile jiwe likasogea pembeni mwa barabara. 

Wakati akirudi kwenda kuichukua mboga yake, aliona pochi mahala pale lilipokuwepo jiwe! 

Akaiendela na kukuta pochi ile imejaa vipande vya dhahabu vikubwa na vingi.

Mkulima yule akarejea nyumani akiwa tajiri mkubwa. 
Hadithi hii ina mafunzo kwamba ni vizuri mtu au watu tukawa na moyo wa kujitolea kwa ajili yetu na kwa ajili ya wengine.

Yule mtu hakutarajia kama angeweza kupata pochi endapo angesukuma lile jiwe, lakini kwasababu alikuwa na moyo wa kujitolea ndiyo maana akapata mafanikio. Hivyo kwa wakati mwingine kujitolea kunalipa.

Kama kila kitu unataka kupata pesa, inaweza kula kwako maana kwenye maisha hatupaswi kukwepa vizuizi.
Tunapokutana na vizuizi kwenye nia zetu za kuelekea kupata mafanikio, hatupaswi kuvikwepa maana hivyo siyo vizuizi bali ni taarifa ya kwamba mbele kuna mafanikio na dhahabu.
Kwa kuhofia vizuizi na shida zinazotukabili katika maisha yetu, tunajikuta tunashindwa kupata dhahabu na mali au vitu vya thamani.

Kwa bahati mbaya kila mmoja wetu, bila kujali nafasi yake katika jamii, anaogopa kizuizi na kila mmoja anatamani mwenzake apambane na kizuizi na siyo yeye.

Sikiliza nikueleze, ni wazi kuwa kila palipo na kizuizi, ndipo palipo na njia nzuri ya kupita na kupata mafanikio.


Tukiwa na moyo wa kupenda kujitolea na moyo wa kutokwepa vikwazo vya kimasha ndipo tutakuwa na uwezo wa kupata mafanikio tunayoyataka.

Usijaribu kukwepa ukweli na kuanza kunywa pombe eti unataka kujisahaulisha na usidhani kuwa ni wajibu wa mtu mwingine kubadili hali uliyonayo kufikia mafanikio.

Bali ni wajibu na jukumu lako kuhakikisha kwamba, njia ikifungwa, unajitahidi kuifungua.

Hata ukilaumu kwa miaka mingi kiasi gani, bado vikwazo vitaendelea kuwepo endapo hautataka kuvikabili.
Tujifunze kwa yule mkulima wa mboga, ambaye hakuamua kuanza kumlaumu mtu, bali aliamua kutua mboga zake na kwenda kulisukuma jiwe hatimaye akapata mafanikio.

Kuna wenye njaa na matajiri na wengine waliopita pale, hawakuona kuwa ni jukumu lao kuondoa lile jiwe bali ni jukumu la serikali, au watu wajinga! Badala yake kumbe walikuwa wakikwepa mafanikio.

Kuna watu wamefeli shule na wengine kwenye mahusiano mambo yameenda ndivyo sivyo, wanadhani wameachwa na Mungu. Lakini katika kikwazo hicho kuna kitu kimejificha cha mafanikio.

Mafundisho haya pia tunayatoa kwa njia ya mikutano katika kumbi mbalimbali nchini Tanzania kwa kualikwa ama kuandaa wenyewe mikutano hiyo kwa kiingilio kidogo kabisa.

Tukutane wakati mwingine katika mafundisho haya. 
Kama una jambo lolote ama unataka kutualika popote, 
Teta nasi kwa SIMU; 0754 440749/0787552955
Email; kalulunga2006@gmail.com
WEB; www.kalulunga.com
Wenu katika sikio halisi
Gordon Kalulunga.
 
 
3.
SIKIO HALISI Na, Gordon Kalulunga.
Tumia matatizo yako kupata mafanikio au kujididimiza zaidi.
Mungu anataka kilakitu unachotaka uwe nacho hapa duniani, ukipate.
Hivi ndivyo nilivyowahi kuambiwa miaka ya nyuma kidogo.
Haikuwa rahisi kuamini kuwa maneno hayo yalikuwa na nguvu ya kuweza kubadili maisha yangu.
Siku moja nilijiuliza moyoni kuwa kwanini Mungu hakutaka niwe kama wenzangu ambao wana nyumba nzuri na magari mazuri nk.
Lakini sikupata jibu! Nikaiambia nafsi yangu kuwa je mimi nina laana? Je Mungu ana upendeleo? Mbona watu wanasema Mungu hana upendeleo?
Nilizidi kuwaza, huku baadhi wakinikejeli! Mawazo yakanizidi kichwani.
Kuna siku nikawa naelekea mjini, wakati navuka barabara nikiwa na lindi la mawazo huku nikijihisi mtupu, niliponea chupuchupu kufa kwa kugongwa na gari.
Dereva yule alinikwepa kisha akasimamisha gari na kuaza kunitukana sana matusi ya nguoni, na kunitolea maneno makali ya kashfa, hakika yalinichoma sana moyoni.
Nikaanza kuhisi kuwa nina mkosi zaidi, mtu ambaye sina bahati na hatimaye machozi yakanidondoka huku nikiendelea kutembea.
Ukiona mwanaume analia basi kuna jambo! Ghafla nikaona lile gari lililotaka kunigonga, likinifuata tena kwa kasi! Na yule dereva akaniambia anipe rifti.
Nikakubali kwa shingo upande na nikiwa ndani ya gari, dereva akaniuliza kama kuna jambo limenikuta, kwani alihisi nina mawazo sana.
Nikavuta pumzi na kumwambia. Ndipo naye akaniambia kuwa, kuna siku moja Ng’ombe wake alitumbukia ndani ya shimo refu na akajaribu kumtoa lakini akashindwa.
Baadhi ya majirani zake ambao hawakumpenda na kupenda mafanikio yake walifurahi sana na wakaanza kutupa matakataka na udongo ndani ya shimo ili kumdhuru yule Ng’ombe afe.
Alisema wakati akiwa kazini, wabaya wake hao, walipokuwa wakitupa takataka hizo na udongo, bila kujua, kumbe yule Ng’ombe alikuwa akijikung’uta zile takataka na udongo ukawa unashuka chini yeye anakanyaga na kupanda juu.
Kadri walivyozidi mumtupia takataka na udongo, akazidi kupanda! Kufumba na kufumbua, yule Ng’ombe akatokeza kichwa na kulia Mmoooooo!
Watu walitaaruki, kuwa iweje Ng’ombe yule katoka mzima! Ndipo yule dereva aliponiambia kuwa, kuna wakati inafikia kila aina ya uchafu utatupiwa, lakini ni maamuzi yako kuamua kijikung’uta na kutumia uchafu huo huo kama daraja la kukuvusha nje au ukubali kufunikwa na huo uchafu kisha ufe.
Maneno ya dereva huyu, yanatukumbusha kuwa kuna wakati wa kulia na wakati wa kucheka,  pia kuna wakati wa kupada na wakati wa kuvuna.
Sikiliza nikuambie, unaweza kuinuka tena, sikio lako halisi naamini limesikia.
 Tukutane wakati mwingine katika mafundisho haya.

Teta nami kwa SIMU; 0754 440749/0787552955

Email; kalulunga2006@gmail.com
WEB; www.kalulunga.com
Wenu katika sikio halisi

Gordon Kalulunga.

Sunday 19 January 2014

JE WAJUA KUYATUMIA VEMA MACHO YAKO?

Unaweza kuwa na hasira,,mawazo,,ama furaha na macho yako yakaonyesha ishara bila kificho lakini pia katika suala zima la mapenzi hisia huonekana machoni

Yapende macho yako wakati wote na pia tumia macho yako kufahamu hisia za mapenzi ya mwenza wako