Thursday 26 December 2013

MACHO HUONYESHA HISIA KATIKA MAPENZI

unaweza kuwa na hasira,,mawazo,,ama furaha na macho yako yakaonyesha ishara bila kificho lakini pia katika suala zima la mapenzi hisia huonekana machoni





yapende macho yako wakati wote na pia tumia macho yako kufahamu hisia za mapenzi ya mwenza wako

Monday 2 December 2013

PICHA YA LEO

MDAU ANATAFUTA RAFIKI WA KIKE

BAADA ya kusoma blog yako usiku huu, naomba nitafute rafiki wa kike (miaka 30-35). Unene, urefu wa wastani, rangi yeyote, kupitia blog yako brother kalu.

Age yangu ni miaka 40. Akipatikana naomba atume sms kwenye namba hii 0789 431774

SALAAM KUTOKA KWA MDAU

Niaje Brother Kalu? 0714637957.

JIBU; poaaaaaa...

SWALI KUTOKA KWA MDAU DANDA WA MASWA

JE nikiwa mbali na mpenzi wangu kwa muda mrefu tunaweza kupoteza mahusiano yetu? Naomba ushauri wako.

JIBU NI KWAMBA KAMA ILIVYO KAWAIDA KWA ANAYEHITAJI USHAURI TULIWEKA UTARATIBU WA KUTUMA 10,000/= ILI UWEZE KUPATA SHAURI WA MAHUSIANO. 

LAKINI WEWE HAUJAFANYA HIVYO WALA HUJAWEZA KUAPATA MAELEKEZO YEYOTE.

MDAU ANATAFUTA MCHUMBA

Natafuta mchumba mwenye umri wa kati ya miaka 18, awe mnene kwa chini juu awe wa kawaida asiwe mweupe sana. 

Namba yangu ni 0788 446374